Jan 15, 2011

IMUS SUBSCRIPTION FEE!!!! JAMANI TUENDELEE KUCHANGIA JUMUIYA


Jumuiya ya waislamu wa IFM bado inaendelea kuwakumbusha wana-IMUS  wote kuharakisha kutoa ada ya uanachama(imus subscription fee) kwani hali ya uchangiaji inakatisha tamaa.Ikumbukwe kila mwaka, kila mwana-IMUS anatakiwa kuchangia kiasi cha TSh.14000/= kama ada ya mwaka mzima au TSh.7000/= kwa kila semista moja, lakini kwa mujibu wa Idara ya Fedha imus, hadi kufikia Januari  14- 2011, ni watu 16 tu waliokamilisha ada zao kati ya wanachama  zaidi ya 700.hali hii hairidhishi jamani ukizingatia pesa hizo ndiyo hutumika kuendeshea shughuli mbalimbali za IMUS kama kununua vitabu, viti, n.k. Hivyo Waislam tunaombwa tuongeze kasi ya kuchangia jumuiya yetu kwasababu mbali na kua ni sehemu ya Ibada ya kutoa(SADAKA), lakini pia ni wajibu wetu kwani suala hili ni kwa mujibu wa katiba ya IMUS.Hivyo kila mwana- Imus anatakiwa kuchangia bila kukosa.Ili kuchangia +255713 533 799
 ……”QUR’AN (63:10- 11)”



1 comment:

  1. BROTHER AMIR NEEDS YOU
    Brother Amir formerly known as Loon is currently on 23 hours lockdown in a prison in Belgium awaiting to be extradited to America on charges that predate his conversion to Islam. All his assets have been frozen and he has NO means to defend himself from these charges. After the help of Allah, his Muslim brother’s and sister’s are his last resort!

    Give
    More info:
    In November 2011, brother Amir was in Belgium where he was going to be give a lecture. On November 22, he was arrested as America invoked the “Patriot Act” and ordered him to be extradited back to America.

    The charges stem from actions that allegedly took place between 2006 to 2008, before his embracing Islam.

    The nature of the charges being implemented so long after the actual crime and the patriot act being invoked to arrest brother Amir abroad is very unusual.

    The charges are federal charges and as such all of Amir’s assets have been frozen, leaving him no means to get a dedicated legal team to fight these charges.

    He has been incarcerated since November and is awaiting departure back to America. We are reaching out to his Facebook audience as a last resort to raise enough money to help Amir get a fair shake at things. If you are interested in helping you can donate through paypal to the following account: loon2amir.legalfees@gmail.com
    For more info visit www.Loon2Amir.com

    ReplyDelete